Wadau Wamponda Will Smith na filamu yake mpya BRIGHT - TANZA MEDIA ONLINE

Tuesday, 2 January 2018

Wadau Wamponda Will Smith na filamu yake mpya BRIGHT

 


Filamu mpya ya mwigizaji mkubwa na mwenye ushawishi zaidi duniani Will Smith Brightimepondwa sana na wachambuzi wa filamu Marekani ata baada ya kupata watazamaji wengi kwenye kituo cha Netflix 
Filamu hii iliyotayarishwa na David Ayer imetazamwa na watu milioni 11 ndani ya siku tatu kwenye Netflix,
Filamu hii imekosolewa na wengi huku rapa Chance The Rapper akidai imetaka kuongelea ubaguzi Marekani kwa kutumia watu wa aina tofauti badala ya kuweka mzungu na mtu wa rangi nyingine, anasema ubaguzi unahusu hisia za watu/binadamu halisi na sio kiumbe kingine.
Netflix inayomiliki filamu hii imetangaza toleo jipya la filamu hii mwakani.

No comments:

Post a Comment