POLISI WAENDA KUPEKUA NYUMBA YA MH TUNDU LISSU - TANZA MEDIA ONLINE

Wednesday 23 August 2017

POLISI WAENDA KUPEKUA NYUMBA YA MH TUNDU LISSU

Image result for lissuMWANASHERIA Mkuu wa CHADEMA na Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu amepelekwa nyumbani kwake na polisi kwa ajili ya kupekuliwa.
 
Tundu Lissu anashikiliwa na Polisi baada ya kummakata jana alipokuwa anatoka katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ambapo alipelekwa Kituoni kuhojiwa kwa makosa mawili.
 
Makosa anayoshtakiwa nayo la kwanza ni kumkashifu Rais, na kosa la pili ni la uchochezi dhidi ya ndege za serikali kuzuiwa Canada

No comments:

Post a Comment