Mfanyabiashara na mpenzi wa mwanamuziki wa Bongo Fleva, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ amesema kurudiana na Diamond haiwezekani na ataendelea kuwa Boss Lady kuimarisha zaidi biashara zake sababu alikuwa hivyo hata kabla ya kukutana naye.Akizungumza na Kituo cha BBC nchini Uingereza alikoenda kikazi, Zari alisema anaendelea na maisha yake ya kuandaa matamasha pamoja ku-host na anatarajia kuja na ‘realty show’ yake inayokwenda kwa jina la Life of Zari The Boss Lady.
Saturday, 24 February 2018
Home
Unlabelled
Zari Hassan adhibitisha kuachana na Diamond
Zari Hassan adhibitisha kuachana na Diamond
About Unknown
Soratemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of soratemplates is to provide the best quality blogger templates which are professionally designed and perfectlly seo optimized to deliver best result for your blog.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment