G Nako:sasa wasanii wa kimataifa ndio wanaomba wabongo collabo. - TANZA MEDIA ONLINE

Friday 5 February 2016

G Nako:sasa wasanii wa kimataifa ndio wanaomba wabongo collabo.


gnako

Rapa G Nako kutoka kundi la Weusi, ameeleza kuwa projekti yake ya kwanza kuitambulisha kimataifa, OG imefanya wasanii kutoka nnje kuelewa zaidi muziki kutoka hapa Tanzania, wakiwa sasa wao ndio wapo mstari wa mbele kutafuta mashavu ya kolabo pamoja na shoo hapa nchini.

G amesema kuwa, kwa kipindi sasa imekuwa ni wasanii kutoka hapa nchini wanaowatafuta wasanii kutoka nnje kwaajili ya mipaka, akiwa sasa kwa upande wake ana simu kadhaa za mastaa wakubwa kabisa ambao wamekwishaonyesha nia ya kufanya naye kazi.

No comments:

Post a Comment