Ibada ya kumuombea marehemu ikiendelea kanisani.
MWILI wa aliyekuwa Katibu wa Chadema
Kata ya Hananasif, Daniel John umeagwa nyumbani kwake na kufanyiwa ibada
katika Kanisa la Parokia ya Mtakatifu Anna, Hananasif, leo Jumanne,
Februari 20, 2018, kabla ya kusafirishwa kuelekea Iringa kwa maziko Mwili ukiingizwa kanisani.
Daniel John anadaiwa kuuawa na watu
wasiojulikana kisha mwili wake kutupwa katika fukwe za Coco jijini Dar
es Salaam wiki iliyopita.Bwana ametoa, Bwana ametwaa Jina lake lihimidiwe, Amina.
source:globalonline


No comments:
Post a Comment