ZIARA YA IGP SIRRO MKOANI NJOMBE - TANZA MEDIA ONLINE

Friday 6 October 2017

ZIARA YA IGP SIRRO MKOANI NJOMBE


Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP) Simon Sirro, akiwasili uwanja wandege wa Njombe, kwa ziara ya kikazi ya siku moja akitokea mkoani Ruvuma, ambapo atazungumza na maafisa na askari wa Jeshi hilo kuona changamoto wanazokutananazo wanapotekeleza majukumu yao na namna ya kuwasaidia.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP) Simon Sirro, akikagua gwaride maalumu lililoandaliwa kwa ajili yake alipowasili mkoa Njombe, kwa ziara ya kiazi ya siku moja yenye lengo la kuzungumza na maafisa na askari wa Jeshi hilo kuona changamoto wanazokutananazo wanapotekeleza majukumu yao na namna ya kuwasaidia.
Wajumbe wa kamati ya Ulinzi na Usalama ya mkoa wa Njombe, wakimsikiliza Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP) Simon Sirro, ambaye yupo mkoani humo kwa ziara ya kikazi ya siku moja yenye lengo la kuzungumza na maafisa na askari wa Jeshi hilo na kuona changamoto wanazokutananazo wanapotekeleza majukumu yao na namna ya kuwasaidia.Picha na Jeshi la Polisi

No comments:

Post a Comment